„Jumanne 31. Mwezi wa sita 1906 imepigwa mstari] Asubuhi nimeshughulikia maktaba kwa sababu posta kutoka ulaya imeleta vitabu vingi. – Max amenunua kutoka kwa Masai waliopita kofia mbili za manyoyo ya tumbili kama zinavyoelezwa kwa Merker "Die Masai" [u. 4] u. 133 al sdōdāl [?] (Papio cynocephalus) sehemu ya chini ya kofia imeshonwa na kipande cha ngozi ya ng‘ombe. Kila kofia iligharimu Rupie 2. [mchoro]" [Utafsiri]
chanzo: Museum der Kulturen Basel, VI 56197, 48 (4) mwandishi: Karl Braun
Mtu
Mtu, haijulikani
(Mchuuzi)
unknown actor
(Mnunuzi)
Mahali
Amani
Malipo
Wakati
kutoka 1906-07-31
Maelezo
„81. Kofia ya ngozi ya ngedere ya Masai (Papio cynocephalus). Merker, M. Die Masai 1904, S. 133 = ol dodal [?] (haipo kwenye kumbukumbu ya 1910 ) / Amani 31 mwezi wa saba 1906 imenunuliwa kutoka kwa Masai waliopita = 2 Rp. / TB 48,4. / [mchoro]" [Utafsiri]
chanzo: Museen Stade, r 2018 / 18566 mwandishi: Karl Braun
Mnamo mwaka 1934, aliyekuwa mkurugenzi wa Taasisi ya Biolojia ya Kilimo na Misitu (Biologische Reichsanstalt für Land- und Forstwirtschaft) Karl Braun (1870–1935) alitoa kile kinachoitwa “Kolonialsammlung Braun” (Makusanyo ya Mkoloni Braun) kwa Jiji la Hanseatic la Stade, au tuseme aliyekuwa mwakilishi wake, meya wa wakati huo Hans Arthur Meyer (1884–1961). Tazama faili „Uhamisho wa makusanyo ya kikoloni kutoka kwa diwani mkuu wa serikali Profesa Dk. Karl Braun huko katika Jiji la Stade” („Überlassung einer Kolonialsammlung vom Oberregierungsrat Professor Dr. Karl Braun in Stade an die Stadt Stade") katika Jimbo la Saxony ya Chini Hifadhi ya Nyalaka ya Stade (Niedersächsischen Landesarchiv Standort Stade).
chanzo: Niedersächsisches Landesarchiv Standort Stade, Dep. 10 Nr. 03025
Mnamo mwaka 1997, aliyekuwa mtunza kumbukumbu wa jiji kwa wakati huo Jürgen Bohmbach anahitimisha makubaliano ya makabidhiano kwa mkopo wa kudumu katika Jumba la Makumbusho (Museumsverein Stade e.V.) chini ya aliyekuwa mkurugenzi wa wakati huo Gerd Mettjes kwa kutia saini. Baadaye, makusanyiko kutoka kwa Karl Braun yalihamishiwa kwenye Jumba la Makumbusho (Museumsverein Stade e.V.) kwa ajili ya utunzaji.
Creative Commons Namensnennung, nicht kommerziell, keine Bearbeitung 4.0jifunze zaidi
Imepitishwa katika lango imewashwa
2025-12-04T15:37:50+01:00
Maoni
Rekodi zetu za takwimu zinafanyiwa maboresho kila mara. Tafadhali wasiliana nasi ikiwa una maswali au maoni au ikiwa unahitaji taarifa zaidi au nyingine zinazohusu mali hii. Taarifa juu ya ulinzi wa takwimu.